iqna

IQNA

utalii
Utalii wa Kiislamu
IQNA - Mpango umezinduliwa nchini Malaysia ili kuvutia watalii wa ndani na nje katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478210    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18

Uchumi na Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Kongamano la utalii wa Kiislamu (Ziyarah) lilifanyika Samarkand, Uzbekistan, ambapo wazungumzaji walisema utalii huo unaweza kupata pato la dola bilioni 230 ifikapo 2028.
Habari ID: 3476082    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13

Utalii wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Utalii wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wanatarajiwa kushiriki katika mkutano katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku kujadili maendeleo ya utalii katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475430    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26

TEHRAN (IQNA)-Mji wa Cape Town nchini Afrika Kusini unatekeleza sera za kuwavutia watalii wa tamaduni na dini mbali mbali na kwa msingi huo kuna mpango maalumu wa kuwavutia watalii Waislamu katika fremu ya Utalii Halali.
Habari ID: 3471356    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/16

IQNA-Kenya imeanzisha mkakati wa huduma za 'Halal' za kitalii kwa ajli ya ongezeko la watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470832    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/04

Makamu wa Rais wa Iran na Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Turathi Masoud Soltanifar amesema shirika hilo linapanga kuigezua Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa kitovu cha utalii Halali duniani.
Habari ID: 3357519    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/02

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatekeleza mkakati wa kuhakikisha inageuka na kuwa kitovu cha utalii halali kwa lengo la kuwavutia Waislamu milioni 15 kutoka maeneo mbali mbali duniani.
Habari ID: 2910925    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/28