Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kuvuruga uhusiano mzuri wa Iran na nchi jirani ya Jamhuri ya Azerbaijan.
Habari ID: 3470881 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/06