uae - Ukurasa 6

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Ansarullah ya Yemen imevurumisha kwa mafanikio kombora la Cruz na kulenga Abu-Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ikiwa ni jibu kwa jinai UAE dhidi ya watu wa Yemen
Habari ID: 3471293    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/03

TEHRAN (IQNA)-Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamelaani matamshi ya afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambaye amezitaka nchi za Ulaya ziwe na udhibiti katika misikiti ili kuzuia hujuma za “kigaidi”.
Habari ID: 3471267    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/17

TEHRAN (IQNA)-Msichana mwenye umri wa miaka 10 ataiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Shaikha Fatima Bint Mubarak ya Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE.
Habari ID: 3471198    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/29

TEHRAN (IQNA) Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukatika uhusiano na Qatar, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imekosoa hatua hiyo.
Habari ID: 3471008    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/05