uae - Ukurasa 5

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Tunisia waliokuwa na hasira wameandamana nje ya ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Tunis kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya UAE na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473085    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas amelaani mapatano ya hivi karibuni yaliyofikiwa ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na utawala haramu wa Israel na kuyataka kuwa ya kipuuzi na yasiyo na maana kwa Wapalestina.
Habari ID: 3473083    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa: kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuisaliti Qurani Tukufu na kumpa mgongo Mtume wa Mwenyezi, Muhammad SAW
Habari ID: 3473078    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wenye hasira nchini Libya wameteketeza moto jengo la ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) mjini Tripoli wakilalamikia hatua ya serikali ya Abu Dhabi ya kufikia makubaliano ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3473075    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16

Harakati ya Kenya-Palestina
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina imelaani vikali mapatano yaliyofikiwa baina ya watawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu na utawala ghasibu wa Israel chini ya usimamizi wa makundi ya Kizayuni nchini Marekani.
Habari ID: 3473073    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Vita Vya Siku 33 vilibadili kanuni za mapigano kwa maslahi ya Lebanon na kuthibitisha utambulisho halisi wa utawala wa Kizayuni na kiwango cha udhaifu wake.
Habari ID: 3473068    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/15

TEHRAN (IQNA)- Misikiti katika Umoja wa Falme za Kiarbau (UAE) itaruhusiwa kuwa na asilimia 50 ya idadi ya wanaoweza kuswali ndani yake kuanzia Agosti 3.
Habari ID: 3473025    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/02

TEHRAN (IQNA) - Kila msikiti katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) utaruhusiwa kuwa na asilimia 50 ya waumini wanaoweza kuswali ndani yake kuanzia Jumatatu Agosti 3.
Habari ID: 3472993    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/24

TEHRAN (IQNA) –Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetangaza kufungua misikiti kuanzia Julai Mosi baada ya kufungwa miezi mitatu ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472915    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/30

TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fatwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) limetoa Fatwa kuhusu Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani wakati wa janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3472684    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20

TEHRAN (IQNA) – Misikiti yote katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) itaendelea kufungwa kwa mauda usiojulikana ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472651    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/10

TEHRAN (IQNA) – Mafunzo ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yatafanyika kwa njia ya intaneti baada ya misikiti na vituo vya Kiislamu kufungwa nchini humo kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472575    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/17

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Zawadi ya Al Qasimia katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameakhirishwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472567    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15

Hofu ya kirusi cha Corona
TEHRAN (IQNA)- Hotuba za sala ya Ijumaa katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) leo hazikupindukia dakika 10 kufuatia amri ya Idara ya Masuala ya Kiislamu na Wakfu nchini humo.
Habari ID: 3472538    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/06

TEHRAN (IQNA) - Msichana kutoka katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametimiza ndoto yake ya kujenga msikiti katika nchi masikini.
Habari ID: 3472465    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/12

TEHRAN (IQNA) –Maelfu ya wanafunzi wamejisajili katika masomo ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3472413    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/28

TEHRAN (IQNA) – Kitivo cha Qur'ani Tukufu kimefunguliwa katika Chuo Kikuu cha Al Qasimia huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3472277    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/14

TEHRAN (IQNA) – Mwanaanga wa kwanza wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kufika katika anga za mbali amesema atabeba nakala ya Qur'ani katika safari yake hiyo ya kihistoria.
Habari ID: 3472104    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/28

TEHRAN (IQNA)- Maisan Yahya Muhammad, ni binti wa miaka sita ambaye kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambaye amehifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3472020    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/28

TEHRAN (IQNA)-Fainali ya Mashindano ya 22 ya Qur'ani ya Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yameanza mjini humo Ijumaa.
Habari ID: 3471819    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/26