iqna

IQNA

uae
Qur'ani Tukufu
IQNA - Mamlaka ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya Masuala ya Kiislamu na Wakfu (GAIAE) imechapisha takriban nakala 100,000 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478094    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Turathi
TEHRAN (IQNA) – Nakala adimu ya Qur'ani Tukufu ya karne ya 15 Miladia ni miongoni mwa vitu vilivyoonyeshwa kwenye Maonyesho ya Vitabu ya Abu Dhabi 2023 katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3477045    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Qur’ani yaliyoandaliwa na Baraza la Kitongoji la Al Suyoh la Idara ya Masuala ya Wilaya na Vijiji ya Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yamehitimishwa.
Habari ID: 3476943    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/01

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Washindi watatu bora wa Tuzo ya 26 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai waliarifishwa katika hafla iliyofanyika Dubai Jumanne usiku.
Habari ID: 3476821    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Ukarimu katika Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimezindua kampeni ya ukarimu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani yenye lengo la kutoa msaada wa milo bilioni moja kwa wale wanaohitaji kote kote duniani.
Habari ID: 3476770    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/27

Uhusiano wa nchi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza stratejia isiyobadilika ya sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu kuhusu ushirikiano wa pande zote, endelevu na wenye manufaa na majirani zake na kusema: ili kuondokana na changamoto zilizopo ambazo kuendelea kwake hakuna maslahi kwa nchi yoyote katika eneo hili, ni lazima ushirikiano na mshikamano vichuke nafasi ya mifarakano na uhasama.
Habari ID: 3476719    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Saa za kazi kwa wafanyakazi wa sekta binafsi zitapunguzwa kwa saa mbili wakati wa Mwezi Mtukufu Ramadhani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3476702    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14

Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho ya Ustaarabu wa Kiislamu ya Sharjah nchini UAE yameongezwa muda hadi majira ya kiangazi.
Habari ID: 3476503    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/02

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ilitangaza uzinduzi wa usajili kwa ajili ya mashindano ya 13 ya Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476477    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 23 la Mashindano ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum la Falme za Kiarabu katika kitengo cha wanaume wametunikiwa zawadi.
Habari ID: 3476455    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yalimalizika katika Umoja wa Falme za Kiarabu siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3476401    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Janga la COVID-19
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miezi 28, Waislamu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wanaweza kusali bila barakoa huku wakuu wa afya wakitangaza kuondolewa kwa takriban vizingiti vyote vya COVID-19.
Habari ID: 3476061    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09

Maumbile na Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti katika nchi za Kiislamu huandaa sala maalum inayoitwa ' Salat Al-Ayat' wakati wa kupatwa kwa jua au mwezi, na kesho kutakuwa na kupatwa kwa jua
Habari ID: 3475984    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/24

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Duru ya Sita ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalihitimishwa huko Dubai, UAE.
Habari ID: 3475888    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Mwanafunzi wa taaluma ya tiba katika Chuo Kikuu cha Alezandria nchini Misri ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kuhifadhi Qur'ani ya wasichana katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3475439    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Uadui wa utawala wa Israel
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mazungumzo yake na waziri mwenzake wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) au UAE) kwamba kuwepo utawala pandikizi wa Kizayuni katika eneo hili ndiyo sababu ya ukosefu wa utulivu na amani kama ambavyo ndio ulioleta vitendo vya kigaidi na uharibifu katika eneo hili zima.
Habari ID: 3475399    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati, Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan amefariki dunia.
Habari ID: 3475246    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/13

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuidhinisha tena hema za futari wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani baada ya hema hizo kufungwa kwa muda wa miaka miwili kutokana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3475047    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15

TEHRAN (IQNA)- Duru ya mwisho ya mchujo katika mashindano ya Qur’ani Tukufu ya wasichana imeanza nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Jumatatu.
Habari ID: 3474956    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/21