Mafunzo hayo ya muda yatahusu elimu ya misingi ya dini, historia ya Kiislamu, utafiti wa Qur'ani, masuala ya kiroho ya Kiislamu na masuala ya sasa.
Mafunzo hayo yalianza jana kwa kuchunguza historia ya maisha ya Nabii Muhammad (saw) tangu kuzaliwa kwake hadi kuaga dunia na kipindi cha serikali za makhalifa wanne hadi wakati wa kuuawa shahidi Imam Ali bin Abu Twalib (as).
Mishoni mwa mafunzo hayo ya muda washiriki watatunukiwa shahada maalumu. 357315