Kamati ya upashaji habari ya tamasha hiyo ya filamu za masuala ya kibinadamu imetangaza kuwa Baraza Kuu la tamasha hilo linajumuisha shakhsia kadhaa wenye uzoefu katika medani hiyo.
Lengo la tamasha hiyo ni kutumia uwezo wa watengeneza filamu na sanaa hiyo katika masuala ya kibinadamu, kuanzisha mazungumzo kati ya tamaduni mbalimbali na kutayarisha uwanja wa kueneza mitazamo na fikra za kisasa kuhusu mahusiano ya shughuli za kibinadamu. 365464