Kikitangaza habari hiyo, Kituo cha Utamaduni cha Iran katika mji huo kimeeleza kwamba wasanii hao wataonyesha ujuzi wao katika nyanja za uchoraji, hati, sanamu ndogo na uandikaji kwa hati maalumu.
Wasanii hao wa Pakistan wamepata mafunzo katika Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Lahore.
Kituo cha Utamaduni cha al-Hamra ndicho kituo kikubwa zaidi cha utamaduni katika mji huo. 371496