Mkurugenzi wa televisheni ya kimataifa ya Sahar amesema, katuni mpya ya vita vya siku 22 huko Gaza itakayopewa jina la "Mtoto na Wavamizi" itahusu mapambano ya watoto wa Palestina ya kutetea ardhi yao na kukabiliana na askari wa utawala ghasibu wa Israel.
Maandalizi ya filamu hiyo yanafanyika kwa sasa na itakuwa tayari miezi kadhaa ijayo. 375138