Kitabu hicho kinamsaidia msomaji kusoma Qur'ani Tukufu kwa njia sahihi.
Kitabu hicho kinamfahamisha msomaji njia sahihi ya usomaji Qur'ani kwa kutumia mbinu za kisasa za usomaji wa kitabu hicho kitakatifu.
Kitabu hicho pia kina kanuni za matumizi ya lugha ya Kiarabu. 374893