IQNA

Kitabu cha 'Maisha ya Wasafi' chachapishwa nchini Bulgaria

12:03 - April 05, 2009
Habari ID: 1760405
Kitabu cha 'Maisha ya Wasafi' kimechapishwa nchini Bulgaria kwa udhamini wa Kitengo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bait (as).
Kitabu hicho kimetarjumiwa kwa lugha ya Kibulgaria.
Kitabu hicho kilicho na kurasa 54 kinazungumzia maisha ya Mtume Mtukufu (saw), Imam Ali na Bibi Fatuma (as). Kimekusudiwa kunufaisha zaidi tabaka la vijana.
Kitabu hicho ambacho toleo lake la kwanza limechapishwa katika kopi 1000, kimetarjumiwa na Goldeen Banayatov. 382438
captcha