IQNA

Kitabu cha Nahjul Balagha chatarjumiwa kwa lugha ya Kiswahili

12:55 - April 09, 2009
Habari ID: 1762388
Kitabu cha Nahjul Balagha kinachokusanya hotuba, semi za hekima na barua za Imam Ali bin Abi Twalib (as) kimeanza kutarjumiwa na kuchapishwa kwa lugha ya Kiswahili.
Kitabu hicho kimetarjumiwa kwa lugha ya kiswali na Sheikh Is’haq Pingili.
Kazi ya kutarjumi kitabu cha Nahjul Balagha kwa lugha ya Kiswahil ilianza miezi mitatu iliyopita na tayari thuluthi moja ya kitabu hicho imekwishamalizika.
Tarjumi ya kitabu hicho inafanyika kwa ushirikiano wa taasisi ya uchapishaji ya al Itra ya Tanzania. 384991
captcha