Kwa mujibu wa shirika la IQNA, kikao hicho kitawashirikisha wasomi na wanafikra kutoka nchi za Iran, Ufaransa, Misri, Algeria na Morocco.
Kikao hicho cha siku nne kitafanyika katika kamisheni 12 tofauti. Iran itawakilishwa katika kikao hicho na Hujjatul Islam Walmuslimeen Sayyid Abul Hassan Nawwab, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu cha mji mtakatifu wa Qum.
Ujumbe wa Ban Ki Moon Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa pia utasomwa katika kikao hicho. 390877