Jumuiya hiyo imeshonesha vikapu vilivyopambwa kwa nembo inayopinga Uzayuni ambavyo vinauzwa kwa maslahi ya taifa la Palestina.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waislamu wa Thailand amesema kuwa Waislamu wote ni ndugu na wana haki sawa na kwamba jumuiya hiyo imeshonesha vikapu ambavyo mapato ya mauzo yake yatatumwa kwa wananchi wanaokandamizwa wa Palestina.
Amesema vikapu hivyo vina nara inayosema "Simamisheni Mauaji ya Wapalestina." 392730