Kwa mujibu wa tovuti ya ndp.org.eg, mashindano hayo yanafanyika kwa himaya ya Makao Makuu ya Chama cha Kidemokrasia NDP ambacho ni chama tawala cha Misri na yataendelea kwa siku mbili. Mashindano hayo yalianza Jumapili kwa hotuba ya Ali Kheirullah Fadhil Katibu Mkuu chama cha NDP mkoani Matruh.
Mashindano hayo yatakuwa katika viwango vya kuhifadhi Qur'ani nzima, juzuu 15 na juzuu 7.
648870