Sherehe hiyo itafanyika katika Taasisi ya Sayansi za Kidini ya Ulaya (IESR).
Sherehe hiyo itahudhuriwa na wahadhari wa vyuo vikuu, wataalamu wa masuala ya kijamii na dini na wanafikra mbalimbali.
André Vauchez ambaye ni mtaalamu wa historia ya dini katika nchi za Magharibi ni miongoni mwa wasomi watakaohutubia sherehe hiyo. 738659