Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu ISESCO limetangaza kuwa litatoa msaada wa kifedha kusaidia Kamisheni ya Taifa ya Elimu na Utamaduni ya Iraq katika mpango wake wa kustawisha elimu uliopewa jina la Nuorul Maarif makhsusi kwa watoto wa kike.