Idara inayosimamia Msikiti wa Rasul al-A'dham katika mji wa Kishia wa Saihat nchini Saudi Arabia imesema kuwa ujenzi wa msikiti huo umekamilika na kwamba utafunguliwa tarere 21 Februari ambayo ni siku ya kuadhimishwa Maulidi na kuzaliwa Mtume Mtukufu (saw).