Kundi la kiutamaduni la al-Fatimiyaat la mjini al-Awamiya katika mkoa wenye wakazi wengi wa Kishia wa Qatif limeandaa tamasha la Sera za Mtume (saw) maalumu kwa wanawake wa Kishia wa Saudi Arabia kwa mnasaba wa kusherehekea Maulidi ya Mtume Mtukufu (saw).