Warsha hiyo ya mafunzo itaendelea kwa kipindi cha wiki moja.
Katika warsha hiyo inayosimamiwa na Jumuiya ya Vijana wa Kiislamu wa Ufaransa pia kutakuwepo vikao vya maswali na majibu kuhusu maudhui ya zaka.
Jumuiya ya Vijana wa Kiislamu wa Ufaransa ilianzishwa mwaka 1987 katika mji wa Lyon na kundi la vijana wa Kiislamu kwa lengo la kuarifisha Uislamu sahihi na kulinda utambulisho wa kidini wa Waislamu nchini Ufaransa. 755334