IQNA

Mafunzo ya kidini Tunisia kuchunguzwa

18:22 - March 06, 2011
Habari ID: 2091225
Kikao cha kuchunguza mafunzo ya kidini nchini Tunisia kimepangwa kufanyika Alkhamisi tarehe 10.
Kwa mujibu wa tovuti ya Saphirnews kikao hicho kimeandaliwa na taasisi ya Ulaya ya IESR iliyo na makao makuu yake mjini Paris, Ufaransa.
Tunaashiria hapa kuwa Muhammad Haddad mtaalamu wa masuala ya Kiislamu na mhadhiri katika vyuo vikuu vya Tunisia atakuwa mmoja wa watu watakaozungumza katika kikao hicho ambacho kimeandaliwa kwa ajili ya kuchunguza hali ya masomo ya kidini nchini humo. 757488
captcha