Kwa mujibu wa tovuti ya Sunni Forum warsha hiyo ya masomo ya muda mfupi itawafahamisha washiriki, sanaa ya kaligrafia ya Kiislamu na pia mbinu za ufundishaji wa sanaa hiyo yenye thamani kubwa ya Kiislamu.
Wakufunzi mashuhuri wa sanaa hiyo kutoka Vyuo Vikuu vya Oxford na Cairo watafundisha na kuzungumza katika warsha hiyo juu ya mbinu na aina tofauti za ya kaligrafia ya Kiislamu. 758842