Mkutano wa kutayarisha kikao cha mawaziri wa utamaduni wa nchi za Kiislamu utafanyika katika mji mkuu wa Algeria Algiers mnamo 16-17 Machi kwa ushirikiano wa Shirika la Kiislamu la Elimu Sayansi na Utamaduni ISESCO, Makao Makuu ya Jumuiya ya Nchi za Kiislamu OIC na Wizara ya Utamaduni ya Algeria.