Kikao hicho kimepangwa kufanyika tarehe 17 hadi 20 Machi. Warsha mbalimbali za masomo kwa kutumia mbinu tofauti za kisasa zitafanyika pambizoni mwa kikao hicho cha siku nne.
Mbinu tofauti za kueneza thamani na utamaduni wa Kiislamu kupitia masomo na lugha ya Kiarabu ni baadhi ya masuala yatakayojadiliwa katika kikao hicho. 763911