Maonyesho hayo yalifanyika pambizoni mwa mashindano ya kimataifa ya hifdhi ya Qur'ani kwa wanajeshi, ambayo yalisimamiwa na Idara ya Masuala ya Kidini ya Askari Jeshi ya Saudia. Picha za kale za Masjidul Haram, mji wa Makka, nuskha za kale za Qur'ani na vitu vingine vya sanna ya Kiislamu kuhusu mji huo vilionyeshwa katika maonyesho hayo. 766721