Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na wanafikra, wasomi pamoja na wanazuoni mashuhuri wa Iraq Abdul Rahman Alawan, mkuu wa kituo kilichotajwa alitoa hotuba ya ufunguzi na kuzungumzia kwa ufupi historia ya maisha ya Imam Baqid Sadr na kisha wasomi waalikwa walipewa fursa ya kuzungumzia utafitu wao kuhusiana na fikra za kielimu za mwanazuoni huyo mashuhuri wa Kiislamu. 782384