Kundi moja la wanaharakati wanaoshiriki katika mtandao wa kijamii wa Facebook limetoa wito kwa Waislamu wote wanaotumia mtandao huo kote duniani kuswali swala ya asubuhi ya Ijumaa ijayo na kuomba dua kwa ajili ya ukombozi wa Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.