Tamasha hiyo itafanyika kwa mnasaba wa mwezi wa Ramadhani kwa lengo la kuwafungamanisha zaidi Waislamu na Qur'ani katika mwezi huo mtukufu na kuarifisha kazi za wasanii wa Kiislamu kuhusu Qur'ani.
Miongoni mwa ratiba za tamasha hiyo ni pamoja na kuonyesha nakala za kale za Qur'ani tukufu, michoro, kaligrafia ya Qur'ani, maonyesho ya filamu zinazohusiana na Qur'ani, kiraa ya kitabu hicho na kadhalika.
Katika siku mbili za tamasha hiyo pia kutafanyika mashindano ya Qur'ami ya watoto. 822112