Mkutano huo utafanyika siku ya Jumamosi, ukihudhuriwa na Mkuu wa Akadamia Kitaifa cha Masuala ya Elimu, Utamaduni na Utafiti (ACECR) pamoja na wataalamu na wahadhiri kutoka vyuo vikuu mbalimbali duniani.
Mazungumzo ya warsha hii ya mtandaoni yataangazia jinsi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilivyolinda mamlaka na uhuru wake wa kiardhi wakati wa vita vya siku 12 vya uchokozi vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni mwezi uliopita.
Miongoni mwa mada zitakazojadiliwa ni:
Mkuu wa ACECR, Profesa Ali Montazeri, atatoa hotuba yake kupitia studio ya Mobin ya IQNA jijini Tehran, huku wazungumzaji wengine wakichangia kwa njia ya video kutoka maeneo mbalimbali.
Wazungumzaji hao ni pamoja na:
Webinar hiyo itatangazwa moja kwa moja kupitia tovuti ya Aparat: www.aparat.com/iqnanews/live na hotuba zote zilizotolewa zitapatikana katika tovuti rasmi ya IQNA.
Tarehe 13 Juni, utawala wa Israeli ulianzisha uchokozi dhidi ya Iran, lakini Iran ilijibu kwa nguvu kupitia mashambulizi ya makombora na droni dhidi ya maeneo ya Wapalestina yaliyokaliwa kwa nguvu, hali iliyoilazimisha Israeli kuomba kusitishwa kwa mapigano.
3493864