Wataalamu kadhaa wa vyuo vikuu na vyuo vya kidini wameshiriki katika kikao hicho.
Mzungumzaji mkuu katika kikao hicho Reza Montazer ametoa hotuba kuhusu mitazamo mbalimbali ya tiba ya Kiislamu.
Kongamano hilo la Tiba ya Kiislamu limeandaliwa na Chuo Kikuu cha Sayansi cha Razavi.
841736