IQNA

Maonyesho ya Sanaa za Kiislamu Palestina yafanyika Morocco

21:31 - August 23, 2011
Habari ID: 2175541
Maonyesho ya sanaa za Kiislamu za Palestina yanafanyika Morocco kuanzia Agosti 22.
Maonyesho hayo yanafanyika kwa munasaba wa Mwezi Mtkufu wa Ramadhani katika mji wa Taswira na yameandaliwa na Jumuiya ya Kiutamaduni ya Quds ya Palestina kwa ushirikiano na manispaa ya mji huo.
Lengo la maonyesho hayo ni kuwasilisha kazi za sanaa za Waislamu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Maonyesho hayo yanajumuisha picha za maeneo matakatifu Palestina na maandishi ya aya za Qur'ani.
847160



captcha