Akizungumza na IQNA, Mohammad Hassan Rabani Mkuu wa Darul Quran katika Idara ya Magereza nchini Iran amesema, kwa mujibu wa mpango uliokuwepo, Qur'ani imehitimishwa mara 130 katika magereza nchini kupitia makundi ya watu 30 na 60.
Ameongeza kuwa magereza pia yalikuwa na programu ya kutoa mafunzo ya Qur'ani katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
851831