Kwa mujibu wa katibu wa kogamano hilo Qasim Pur Hassan, kongamano hilo litajadili nadharia za wanafalsafa wa Kiislamu waliokuja baada ya Farabi mwaka 550 Hijria.
Amesema kongamano hilo litakuwa na vitengo vitatu venye anwani ya ‘Kutoka Farabi hadi Avicenna, ‘Avicenna’ na ‘Kutoka Avicenna hadi Sohrawardi’.
Mkuu wa Taasisi ya Hekima ya Sadra ya Kiislamu Ayatullah Sayyod Mohammad Khamenei anatazamiwa kutoa hotuba katika ufunguzi wa mkutano huo.
864604