Muhammad bin Salim Shadidi al Aufi amesema kuwa kiwanda hicho kimetoa amri ya kukusanywa na kurejeshwa nakala zote za Qur'ani ya elektroniki zenye makosa ya kichapa.
Al Aufi amesema kuwa Wizara ya Utamaduni na Habari ya Saudi Arabia ndiyo inayowajibika kuzuia uingizaji wa nakala hizo za Qur'ani zenye makosa ya kichapa. 869272