Wizara ya Waqfu na Masuala ya Kiislamu ya Algeria imesema kuwa mashindano hayo yatafanyika tarehe 12 hadi 18 Oktoba katika miji kadhaa ya nchi hiyo. Mashindano hayo yatafanyika katika sehemu mbili tofauti kwa ajili ya maimamu na viongozi wa misikiti na walimu wa Qur'an Tukufu.
Maimamu 300 wa misikiti, walimu 140 wa Qur'ani, waadhini na maafisa wa taasisi na jumuiya za Kiislamu 235 watashiriki katika mashindnao hayo. 873991