Gelad Shalit ambaye ameachiwa huru leo katika utekelezaji wa makubaliano ya kubadilishana mateka kati ya utawala haramu wa Israel na harakati ya Hamas, amepongeza harakati hiyo kwa mwenendo mzuri wa wanachama wake.
Amesema kua katika kipindi chote cha miaka mitano ya kuwa mateka, hamas imeamiliana nami vizuri.
Shalit pia amewalaumu viongozi wa Israel na kusema kuwa miaka 5 iliyopita Israel ingeweza kumkomboa yeye kwa kuwaachia huru mateka wa Kipalestina lakini viongozi wa Tel Aviv wamechukua hatua kwa kuchelewa. 882592