Mashindano hayo yanayosimamiwa na Ofisi ya Jumuiya ya Masuala ya Misikiti yatafanyika katika maeneo manne ya nchi hiyo.
Mashindano hayo yaliyotayarishwa na Wizara ya Masuala ya Kidini yatakuwa na pande mbili za wanaume na wanawake na yatawashiriki makarii kutoka maeneo yote ya Brunei.
Washindi watawakilishi nchi hiyo katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani yatakayofanyika Kuala Lumpur. 885431