Kwa mujibu wa gazeti la at-Riyadh la Saudia, nuskha hizo za Qur'ani zimechapishwa na Taasisi ya Uchapishaji na Usambazaji wa Qur'ani Tukufu ya Mfalme Fahd katika mji mtakatifu wa Madina na kusambazwa miongoni mwa mahujaji wa nchi tofauti.
Qur'ani hizo ambazo huchapishwa kwa lugha tofauti hutolewa kila mwaka kwa mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu. 894693