IQNA

Kongamano la Kimataifa la Qur’ani kufanyika Iran

15:42 - November 19, 2011
Habari ID: 2224109
Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Azad, tawi la Mashhad nchini Iran kinapanga kuandaa kongamano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu mwakani.
Hayo ni kwa mujibu wa mkuu wav chuo hicho Bw Abdul Majid Helmi ambaye alikuwa akizungumza katika kongamano lenye anwani ya ‘Tathmini ya Fikra Mpya kwa Vigezo vya Qur’ani’ lililofanyika chuoni hapo.
Amesema mkutano huo wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu unalenga kusisitiza ukweli kuwa Qur’ani inauwezo wa kutatua na kujibu changamoto zote za mwanadamu.
899975
captcha