Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, mashindano hayo yameandaliwa na Wizara ya Awqaf ya Misri na yanalenga kuwahimiza vijana kuhifadhi Qur’ani na kutekeleza mafundisho yake katika maisha yao ya kila siku.
Mashindano hayo yatakuwa na vitengo vya kuhifadhi Qu’rani kikamilifu, tajweed, tarteel na tafsiri ya Juzuu ya 15 ya Qur’ani, kuhifadhi juzuu 20 na kuhifadhi juzuu sita.
Washiriki wanapaswa kuwa na ufahamu wa kiwango cha juu kuhusu kuhifadhi Qu’rani.
1042823