Balozi na mwambata wa kiutamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Falme za Kiarabu siku ya Alkhamisi ijayo wanatazamiwa kushiriki kwenye maonyesho ya sanaa mjini Doha Qatar ambapo msanii mashuhuri wa Iran anatazamiwa kuonyesha kazi zake za uandishi wa Qur'ani kwa kutumia mkono.