IQNA

Nini Maana ya Dhambi katika Uislamu

13:47 - October 15, 2023
Habari ID: 3477737
TEHRAN (IQNA) – Dhambi inafafanuliwa kama kosa na kitendo cha uasherati kinachozingatiwa kuwa ni uvunjaji wa sheria ya Mwenyezi Mungu.

Katika Uislamu, kitendo chochote kinachoenda kinyume na amri za Mwenyezi Mungu kinachukuliwa kuwa ni dhambi.

Hata dhambi ionekane ndogo na isiyo na maana kiasi gani, ni kubwa na mbaya kwa sababu inamaanisha kutomtii Mwenyezi  Mungu.

Mtume Muhammad (s.a.w) alimwambia Abu Dhari Usiangalie jinsi dhambi ilivyo ndogo bali mtazame yule ambaye unamuasi ni nani na ana uzito gani.

Kwa Nini Ni Muhimu Kujua Dhambi?


3485560

 

Kishikizo: dhambi jamii usilamu
captcha