Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kwa kupitisha azimio, limetaka maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ( ICJ ) kuhusu namna utawala ghasibu wa Israel unavyokiuka haki ya Wapalestina ya kujitawala na kujiainishia hatima yao na utawala.
Habari ID: 3476338 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01
TEHRAN (IQNA) Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ( ICJ ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
Habari ID: 3472265 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10