ICJ - Ukurasa 2

IQNA

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, kwa kupitisha azimio, limetaka maoni ya ushauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuhusu namna utawala ghasibu wa Israel unavyokiuka haki ya Wapalestina ya kujitawala na kujiainishia hatima yao na utawala.
Habari ID: 3476338   Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/01

TEHRAN (IQNA) Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
Habari ID: 3472265   Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10