ICJ - Ukurasa 2

IQNA

TEHRAN (IQNA) Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ( ICJ ) imeanza kusikiliza kesi kuhusu mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar kufuatia shtaka ambalo limewasilishwa na Gambia.
Habari ID: 3472265    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/10