TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ethiopia imepinga vikali uingiliaji wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) mgogoro wake mrefu na Misri pamoja na Sudan kuhusu ujenzi wa  bwawa  kubwa la maji katika Mto Nile.
                Habari ID: 3474075               Tarehe ya kuchapishwa            : 2021/07/06