Ibada
IQNA-Eneo kubwa la Swala la Tehran maarufu kama Mosalla Imam Khomeini litapanuliwa na kuwa msikiti mkubwa zaidi duniani.
Habari ID: 3480275 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/27
Idul Fitr
IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini leo Jumatano asubuhi walikusanyika kwenye Uwanja wa Swala wa Mosalla Imam Khomeini katika mji mkuu wa Iran, Tehran, kwa ajili ya Sala ya Idul Fitr inayoashiria kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478667 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
TEHRAN (IQNA)- Duru ya 29 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Tehran imepenga kufanyika katika Ukumbi wa Sala (Musalla) wa Imam Khomeini (RA).
Habari ID: 3475036 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13