TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ujerumani Thomas de Maiziere amependekeza kuwa sikukuu za Kiislamu zitambuliwe rasmi na zisherehekewe nchini humo.
Habari ID: 3471215 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/14
TEHRAN (IQNA)-Maelfu ya watu, wengi wao wakiwa Waislamu, wameandamana katika mji wa Cologne magharibi mwa Ujerumani kupinga ugaidi unaotendwa kwa jina la Uislamu.
Habari ID: 3471023 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/18
IQNA-Kati ya malengo ya mashindano ya Qur'ani ya Waislamu barani Ulaya ni kutafuta na kubaini vipawa vilivyopo vya Qur'ani barani humo.
Habari ID: 3470892 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/13
IQNA-Wanafunzi Waislamu katika shule moja Ujerumani wamepigwa marufuku kutekeleza ibada ya Swala wakiwa shuleni
Habari ID: 3470878 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/04
IQNA- Mwanamke Mwislamu amekataa kumpa mkono Rais wa Ujerumani lakini Waziri wa Ulinzi wa Saudia amempa mkono mwanamke ambaye ni waziri wa ulinzi wa Ujerumani.
Habari ID: 3470751 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/20
Katika kuendelea chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya, chama kimoja cha kisiasa Ujerumani kimependekeza kuzuiwa ujenzi wa misikiti nchini humo.
Habari ID: 3470338 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/26
Duru ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa aya Qur'ani Barani Ulaya itfanyika nchini Ujerumaani kuanzia Machi 25-27 mwaka 2016.
Habari ID: 3468966 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/24
Kansela wa Ujerumani Bi Angela Markel amesema kuwa, Waislamu wanaoishi nchini humo ni .miongoni mwa jamii ya Wajerumani
Habari ID: 2706291 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/13