Uislamu Ujerumani
IQNA - Kamishna wa Shirikisho la Kupambana na Ubaguzi nchini Ujerumani, Reem Alabali-Radovan, ameelezea wasiwasi wake siku ya Jumatatu kuhusu kuongezeka kwa chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu kufuatia tukio la hujuma kwa kutumia gari katika soko la Krismasi huko Magdeburg wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 5 na kujeruhi wengine 200.
Habari ID: 3479948 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/24
Jinai
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimelaani shambulio la kigaidi lililoua watu wawili na kujeruhi makumi kadhaa huko Magdeburg nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479933 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaliyofanyika Hamburg, Ujerumani, wiki iliyopita, yalihudhuriwa na washiriki 140 kutoka nchi 40 za Ulaya.
Habari ID: 3479600 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15
Waislamu Ujerumani
IQNA - Wiki tatu baada ya kufungwa kwa Kituo cha Kiislamu cha Hamburg na taasisi zake tanzu na serikali ya Ujerumani, maafisa wa kituo hicho wamewasilisha kesi mahakamani kupinga hatua hiyo.
Habari ID: 3479285 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/16
Waislamu Ujerumani
IQNA - Shirika moja lisilo la kiserikali la kimataifa lenye makao yake makuu nchini Iran limelaani vikali marufuku ya Ujerumani dhidi ya Kituo cha Kiislamu cha Hamburg (IZH) na kuitaja hatua hiyo kama ukiukaji wa wazi wa mikataba ya kimataifa, pamoja na haki za binadamu na uhuru wa dini, kujieleza na kukusanyika.
Habari ID: 3479191 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27
Waislamu Ujerumani
IQNA- Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Ali Bagheri Kani amelaani vikali hatua ya polisi ya Ujerumani ya kupiga marufuku Kituo cha Kiislamu cha Hamburg (IZH) na asasi zake tanzu, na kusema kwamba hatua hiyo inakiuka kanuni za kimsingi za uhuru wa kuabudu.
Habari ID: 3479189 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
chuki dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani
Umoja wa Uturuki na Kiislamu kwa Masuala ya Kidini (DİTİB) umeelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya kuongezeka kwa visa vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479089 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08
Ujerumani Chuki Dhidi ya Uislamu
Kulingana na shirika lisilo la kiserikali nchini Ujerumani, chuki dhidi ya Uislamu imeongezeka kwa asilimia 140 mwaka huu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3479019 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/27
Waislamu Ulaya
IQNA - Vijana wengi wa Kiislamu nchini Ujerumani wanaamini kuwa Qur'ani Tukufu ni muhimu zaidi kuliko sheria za nchi.
Habari ID: 3478781 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06
Ramadhani
IQNA - Barabara kuu ya kati huko Frankfurt, Ujerumani, itapambwa kwa taaza zenye nembo za hilali nyota na mapambo mengine kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478463 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07
Chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani
IQNA - Mbunge mmoja nchini Ujerumani ametoa wito wa kujumuishwa kwa sheria za kupinga Uislamu katika katiba ya nchi
Habari ID: 3478416 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26
Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
IQNA - Tangu kuanza kwa vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7, 2023, idadi ya jinai za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu ikiwa ni pamoja na barua za vitisho zilizotumwa kwa misikiti nchini Ujerumani imeongezeka sana.
Habari ID: 3478217 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19
Waislamu Ujerumani
BERLIN (IQNA) – Kiongozi mmoja wa jamii ya Waislamu nchini Ujerumani ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya Waislamu nchini humo kufuatia vita vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3477958 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/28
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu ni tatizo kubwa nchini Ujerumani, na kulishughulikia kunahitaji ushiriki wa makundi makubwa ya jamii, mtaalamu mashuhuri amesema.
Habari ID: 3477939 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/24
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA)- Utafiti mpya umefichua kuwa, asilimia 40 ya wanaume Waislamu nchini Ujerumani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi katika maisha yao ya kila siku, huku hujuma na mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.
Habari ID: 3477864 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/09
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Ujerumani imeelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa matukio ya ubaguzi wa dhidi ya Waislamu nchini humo tangu kuanza kwa mzozo wa Gaza Oktoba 7.
Habari ID: 3477854 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/07
Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amesema Jumamosi kwamba Uislamu ni dini ya Ujerumani huku kukiwa na ongezeko la ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu inayochochewa na propaganda za vikundi vya mrengo mkali wa kulia na vyama ambavyo vimetumia vibaya mzozo wa wakimbizi na kujaribu kuzua hofu ya wahamiaji.
Habari ID: 3477611 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/17
Waislamu Ulaya
BERLIN (IQNA)-Mamilioni ya Waislamu nchini Ujerumani wana wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu na hujuma na mashambulio dhidi ya misikiti nchini humo.
Habari ID: 3477456 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Ongezeko la mashambulizi dhidi ya misikiti katika nchi za Magharibi hususan Ujerumani na barua za vitisho zinazotumwa kwa Waislamu vinazusha hofu na mfadhaiko katika jamii ya wafuasi wa dini hiyo.
Habari ID: 3477410 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Msikiti mmoja nchini Ujerumani ulipokea barua ya vitisho kutoka kwa kundi la Wanazi mamboleo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477384 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/05