Wamagharibi na ugaidi
TEHRAN (IQNA)- Mwandishi wa kitabu kilichochapishwa hivi karibuni amefichua jukumu la idara ya kijasusi ya Kanada (Canada) katika kutuma wasichana kwenda kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kusisitiza kuwa serikali ya Uingereza ilijua jukumu la Kanada katika kashfaa hii lakini ikajizuia kuifichua.
Habari ID: 3475710 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31