iqna

IQNA

Maarifa ya Manabii
IQNA – Kwa mujibu wa riwaya, Nabii Idris (Mwenyezi Mungu Amrehemu-AS-) aliishi kati ya zama za Adam (AS) na Nuh (AS) na alisifika kwa umahiri wake wa sayansi na elimu.
Habari ID: 3479184    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25

Shakhsia Katika Qur'ani / 8
TEHRAN (IQNA) – Nabii Idris (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) ndiye aliyekuwa wa kwanza kuandika kwa kalamu, kwa mujibu wa riwaya. Ametajwa kuwa ni msomi mwanafikra, na mwalimu na anajulikana kuwa mwanzilishi wa sayansi nyingi kutokana na elimu aliyoipata kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476000    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28