wanadamu

IQNA

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kiroho na kimaadili wa sala, akiitaja kuwa miongoni mwa ibada zenye maana kubwa na zinazotoa uhai katika Uislamu.
Habari ID: 3481345    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/09

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kuna kategoria tofauti za wanadamu katika jamii. Wakati mwingine, utu na tabia ya binadamu ni lengo kuu, na wakati mwingine hali yao ya kijamii na kiuchumi. Hata hivyo, Uislamu unatilia maanani suala maalum kuhusu wanadamu .
Habari ID: 3476002    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29